Kichwa chako kina ubongo ambao hufanya kazi ya kutoa na kupokea mawimbi ya mawazo yanayotolewa na ubongo wa watu wengine.Ni sehemu pekee ambayo binadamu hupokea na kutunza mawazo au fikra za aina fulani.Maajabu makubwa na ugunduzi ambao binadamu hufanya huanzia katika fikra alizonazo,vilevile utajiri wa binadamu huanzia katika mitazamo yake ya kutumia fikra alizo nazo juu ya maisha yake na mazingira yake yanayomzunguka kwa wakati fulani.Maisha ya binadamu huongozwa na nguvu ya fikra zitokanazo kichwani mwake kwa mfumo wa imani aliyonayo ya maisha yake hapa duniani.MWISHO Kila mwanadamu wa dunia hii anakitu ndani yake kinachoweza kutubadili sisi jinsi tunavyoishi,tunavyocheza na tunavyotenda...............KIJANA TUMIA FIKRA ZAKO KATIKA KUBADILISHA MAISHA YAKO NA JAMII INAYOKUZUNGUA KWA KUWAZA FIKRA SAHIHI KWA MALENGO SAHIHI KWAKO NA JAMII
Life is meant to be lived; cherish the exciting moments, and relish in those all too brief moments of relaxation. I am here to live my own life, and live it passionately. ujamaa serves as a vessel to project my passions, and clue in my loyal readers as to what inspires me in this crazy world. So, sit back, relax, and read on.
vitabu nivipendavyo
- where have all the leaders gone,uongozi wetu na hatma ya Taifa letu,makuhadi wa soko huria
VIJANA TUAMKE
tunataka kuona vijana wasomi wanaoweza kuhoji mfumo wowote wa kisiasa na kiuchumi unaokandamiza jamii,siyo vijana akina 'ndiyo bwana'wanafiki,wenye nidhamu ya woga na wabeba vipeperushi vya mafisadi.kama vijana wasomi,tusipofanya hivyo,JAMII ITAOTA KUTU,ITASAGIKA NA KUTEKETEA
No comments:
Post a Comment