Life is meant to be lived; cherish the exciting moments, and relish in those all too brief moments of relaxation. I am here to live my own life, and live it passionately. ujamaa serves as a vessel to project my passions, and clue in my loyal readers as to what inspires me in this crazy world. So, sit back, relax, and read on.
vitabu nivipendavyo
- where have all the leaders gone,uongozi wetu na hatma ya Taifa letu,makuhadi wa soko huria
VIJANA TUAMKE
tunataka kuona vijana wasomi wanaoweza kuhoji mfumo wowote wa kisiasa na kiuchumi unaokandamiza jamii,siyo vijana akina 'ndiyo bwana'wanafiki,wenye nidhamu ya woga na wabeba vipeperushi vya mafisadi.kama vijana wasomi,tusipofanya hivyo,JAMII ITAOTA KUTU,ITASAGIKA NA KUTEKETEA
Thursday, September 1, 2011
Wasomi wanakuwapo kwa ajili ya jamii na siyo kinyume chake.Wajibu mkubwa wa msomi ktk jamii ni kukidhi mahitaji ya jamii yake ambayo inaundwa pia na wasio na elimu.Msomi anapaswa kumulika njia,ni mshika kurunzi.Tatizo la mtazamo huu ni jinsi msomi huyu anavyoshirikishwa ktk kubainisha mahitaji ya jamii yake.Swali la kujiulza hapa ni je?nani anayepanga mahitaji ya jamii,ni watu?ni viongozi?viongoz wa aina gani?je ni sahihi kwa jamii kwamba wenye nguvu ya pesa ndio washike hatamu za uchumi wa nchi,utawala na siasa?WAPI ELIMU KWA MTANZANIA?MH!bado taratibu tutafika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment